Habari za Punde

Mashindano ya vikundi vya sanaa yafanyika uwanja wa michezo Gombani

WASANII wa Ngoma ya Kirumbizi kutoka Pujini Salum Shaame Othman na Mohamed Juma Omar, wakicheza ngoma hiyo kwa kupigana fimbo wakati wa mashindano ya Vikundi vya Sanaa, mashindano yaliyofanyika Gombani Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WASANII wa Ngoma ya Msewe Juma Ali Juma na Khamis Hamad Ali kutokma kambini kichokochwe, wakionyesha umahiri wakucheza ngoma hiyo wakati wa mashindano ya vikundi vya sanaa, mashindano hayo yaliyofanyika Gombani Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MSANII Time Kai Hamad kutoka kikundi cha Uringe kutoka Micheweni akiwaongoza wenzake katika kucheza ngoma ya uringe, wakati wa mashindano ya Vikundi vya sanaa mashindano hayo yaliofanyika Gombani Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WASANII wa Ngoma ya Mkota Ngoma kutoka Mkoani, wakionyesha burudani ya ngoma hiyo katika mashindano ya Vikundi vya sanaa mashindano hayo yaliyofanyika Gombani Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

KATIBU Mkuu wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Fatama Hamad Rajab, akizungumza wakati wa mashindano ya Vikundi vya Sanaa mashindano hayo yaliyofanyika katika uwanja wa Gombani Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WAZIRI wa Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Tabia Maulidi Mwita, akizungumza na wasanii mbali mbali wakati wa mashindano ya vikundi vya sanaa mashindano yaliyofanyika katika uwanja wa michezo Gombani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.