Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akikata utepe
kuashiria kufunguliwa rasmi kwa maonesho ya tatu ya Sido kitaifa. Maonesho hayo
yanafanyika katika viwanja vya Umoja Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma.
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akikata utepe
kuashiria kufunguliwa rasmi kwa maonesho ya tatu ya Sido kitaifa. Maonesho hayo
yanafanyika katika viwanja vya Umoja Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma.
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akipokea maelezo
kutoka kwa Benedicto Kalumuna ambaye ni
afisa kutoka Sido juu ya bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na Sido wakati alipotembelea mabanda mbalimbali ya
wajasiriamali katika maonesho ya tatu ya Sido kitaifa wilayani Kasulu mkoani
Kigoma.
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akishuhudia namna bora
ya ufugaji wa vifaranga kwa kutumia Keji maalum
wakati alipotembelea mabanda mbalimbali ya wajasiriamali katika maenesho
ya tatu ya Sido kitaifa wilayani Kasulu mkoani Kigoma. Kulia ni Mama Mbonimpaye
Mpango mke wa Makamu wa Rais (wa katikati) pamoja na Theobali Sabi ambaye ni
mjasiriamali.
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akipokea maelezo
kutoka kwa Gisela Dennis ambaye ni afisa
masoko wa kampuni ya Deve inayojishughulisha na uuzaji wa vifaa vya Hospitalini
wakati alipotembelea mabanda mbalimbali ya wajasiriamali katika maonesho ya
tatu ya Sido kitaifa wilayani Kasulu mkoani Kigoma
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akipokea maelezo
kutoka kwa Salvatory Mwinula mjasiriamali ambaye ni fundi wa kutengeneza
mitambo ya kufua umeme wa kuangulia vifaranga wakati alipotembelea mabanda
mbalimbali ya wajasiriamali katika maonesho ya tatu ya Sido kitaifa wilayani
Kasulu mkoani Kigoma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiwa katika picha ya pamoja na wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaowakilisha Mkoa wa Kigoma mara baada ya kufungua maonesho ya tatu ya Sido kitaifa yanayofanyika wilayani Kasulu mkoani Kigoma.
No comments:
Post a Comment