RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipiga moto gari la Wagonjwa kabla ya kulikabidhi kwa Uongozi
wa Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba lililotolewa na Mwakilishi
wa Jimbo la Mkoani Pemba Mhe.Abdalla
Hussein Kombo, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Hospitali hiyo
ilioko katika Wilaya ya Mkoani Pemba
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi ufunguo
wa gari la wagonjwa Daktari Mkuu wa Mkoa (OMD) ambae pia ni Mkurugenzi Baraza
la Mji Mkoani Dkt.Mohammed Faki Said ,kwa ajili ya Hospitali ya Abdalla Mzee
Mkoani, lililotolewa na Mwakilishi wa Jimbo la Mkoani Pemba Mhe.Abdalla Hussein
Kombo, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Hospitali hiyo Mkoani
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akikabidhiwa Mashine ya Kungolea Meno na Vifaa mbalimbali vya Afya kwa ajili ya Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani
Pemba na Mfanyabiashara Maarufu wa
Zanzibar Bw.Said Nassir Nassor (Bopar) hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Hospitali hiyo Mkoani Pemba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na galoni
la vitakasa mikono baada ya
kukabidiwa na Mfaanyabiashara maarufu wa
Zanzibar Bw.Said Nassir Nassor, na kukabidhi kwa Hospitali ya Abdalla Mzee
Mkoani Pemba, hafla hiyo imefanyika katika Hospitali hiyo
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mganga
Mkuu wa Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba Dkt..Haji Mwita akitowa maelezo
wakati akitembelea chumba cha X-Ray katika hospitali hiyo akiwa katika ziara
yake Kisiwani Pemba
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi na Wafanyakazi wa
Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani baada ya kumalizika kwa hafla ya kukabidhi
Vifaa mbalimbali vya Afya na Gari ya Wagonjwa
kwa ajili ya matumizi ya Hospitali hiyo, wakati ziara yake katika Mkoa wa Kusini Pemba
WAUGUZI wa Hospitali
ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza
na Uongozi wa hospitali hiyo akiwa
katika ziara yake katika Mkoa wa Kusini Pemba
WANANCHI wa Wilaya ya
Mkoani Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza baada ya
kumaliza kukabidhi vifaa mbambali vya Afya na Gari ya Wagonjwa.hafla hiyo
imefanyika katika viwanja vya Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani
No comments:
Post a Comment