Habari za Punde

Wahamasishaji waingia mitaani kisiwani Pemba kuhamasisha wanawake kugombania nafasi za uongozi

MKUU wa Wilaya ya Micheweni Mgeni Khatib Yahya, akiwasikiliza akinamama wa wilaya ya micheweni juu ya kero zao zinazowakabili, wakati wa mkutano wa uhamasishaji wanawake kugombania nafasi za uongozi uliondaliwa na jumuiya PEGAO, pamoja na TAMWA-Zanzibar,ZAFELA mradi wa ushirikishaji wanawake katika uongozi unaofadhiliwa na Ubalozi wa Norway nchini.

MHAMASISHAJI kwenye jamii katika masuala ya wanawake kugombania nafasi za uongozi, Siti Habibu akimsikiliza na Asha Nassor Makame mkaazi wa Makambeni Wilaya ya Mkoani, wakati wa mkutano wa uhamasishaji wanawake kugombania nafasi za uongozi uliondaliwa na jumuiya PEGAO.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.