Habari za Punde

Familia ya Bi.Gulshan Suleiman Inatowa Salamu za Shukrani.

Marehemu Naushad Mohamed Suleiman 

Kwa niaba ya Mama yetu Bibi Gulshan Suleiman  tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa upendo mlionyesha kwetu kufuatia msiba wa ndugu yake Mama ambae pia ni Mjomba wetu Marehemu Naushad Mohamed Suleiman kutoka msiba ulipotokea mpaka mazishi ya mjomba wetu huko Dubai. 


Tunashukuru kwa Rambirambi zenu na salamu za faraja kwetu. Mwenyezi Mungu akulipeni kila la kheri na tuendelee kushikamana. 

Innalillah wa Inna Ilayhi Rajioun.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.