Habari za Punde

Vijana Pemba Wapata Elimu ya Utawala Bora

MKUFUNZI wa Masuala ya Mtandao Seif Gharib, akikusanya tathmini ya awali kwa washiriki wa mafunzo ya Utawala bora, Demokrasia na Haki za Binaadamu yaliyotolewa na Jumuiya ya ZAFYCO Zanzibar, kupitia mradi wa elimu ya uraia kwa vijana wa taasisi za elimu ya juu, mafunzo yaliyofanyika mjini chake chake
VIJANA kutoka vyuo mbali mbali vya elimu ya Juu vilivyopo Pemba, wakifuatilia kwa makini ufunguzi wa Mradi wa elimu ya uraia kwa vijana wa elimu ya juu, unaosimamiwa na Jumuiya ya ZAFYCO Zanzibar uzinduzi huo uliofanyika mjini Chake Chake
MKURUGENZI wa Jumuiya ya ZAFYCO Zanzibar Abdallah Abeid, akizungumza na vijana kutoka vyuo vya elimu ya juu Pemba, wakati wa hafla ya uzinduzi wa mradi wa elimu ya uraia kwa vijana wa elimu ya juu, unaosimamiwa na Jumuiya ya ZAFYCO Zanzibar uzinduzi huo uliofanyika mjini Chake Chake
MWANAFUNZI Amina Salum Mohamed kutoka chuo cha SUZA Pemba, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mradi wa elimu ya uraia kwa vijana wa elimu ya juu, unaosimamiwa na Jumuiya ya ZAFYCO Zanzibar uzinduzi huo uliofanyika mjini Chake Chake

MKUFUNZI wa masuala ya Utawala bora, Demokrasia na haki za binaadamu, kwa vijana wa elimu ya juu kupitia mradi wa elimu ya uraia kwa vijana wa elimu ya juu, unaosimamiwa na Jumuiya ya ZAFYCO Zanzibar uzinduzi huo uliofanyika mjini Chake Chake.

MKUFUNZI wa masuala ya Utawala bora, Demokrasia na haki za binaadamu, kwa vijana wa elimu ya juu kupitia mradi wa elimu ya uraia kwa vijana wa elimu ya juu, unaosimamiwa na Jumuiya ya ZAFYCO Zanzibar uzinduzi huo uliofanyika mjini Chake Chake.

(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.