Makamo wa Pili wa Rais mhe Hemed Suleiman Abdulla akiakhirisha mkutano wa tano wa Baraza la kumi la Wawakilishi. Baraza la Wawakilishi limeakhirishwa hadi siku ya jumatano tarehe 16 februari 2022 saa tatu kamil;i asubuhi
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment