Habari za Punde

Wananchi watakiwa kufuata utaratibu maalum kufikisha malalamiko

Mrajisi Baraza la Madaktari  Zanzibar Dk. Faiza Kassim Suleiman akizungumza na vyombo vya habari  akiwataka wananchi kufuata utaratibu maalum wa kufikisha  malalamiko yao  dhidi ya watendaji wa sekta ya Afya, huko Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii,Wazee, Jinsia na Watoto Mnazimmoja Zanzibar.

PICHA NA FAUZIA MUSSA-MAELEZO ZANZIBAR

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.