Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM wakiendelea na kikao maallum kikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 20 Januari, 2022 katika ukumbi wa Halmashauri Kuu CCM White House Jijini Dodoma.
MASHINE ZILIZOKAA ZAIDI YA MIAKA MIWILI ZAANZA KAZI BAADA YA MADATARI WA
SAMIA KUFIKA
-
Na WAF, ARUSHA-Karatu
MASHINE sita (6) za kuwasaidia wagonjwa wa dharura katika hospitali ya
Halmashauri ya Karatu mkoani Arusha, zimeanza kutumika ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment