GARI ya abiria yenye Namba Z845 EP, Ruti Gombani Chake Chake, inayodaiwa ambayo imepata ajali na kupanda viguzo zilizowekwa taa za barabarani, baada ya kudaiwa kufeli breki tokea Michakaeni hadi mjini kwenye mataa.(PICHA NA ABDI SULEIMAN.)
WADAU WA UTALII KUTOKA NCHI 38 DUNIANI WATHIBITISHA KUSHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA KARIBU-KILI FAIR JIJINI ARUSHA
-
Na Pamela Mollel,Arusha
WADAU wa utalii kutoka nchi 38 duniani wamethibitisha kushiriki maonyesho
ya kimataifa ya Karibu-Kili Fair yanayotarajiwa kuanza...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment