GARI ya abiria yenye Namba Z845 EP, Ruti Gombani Chake Chake, inayodaiwa ambayo imepata ajali na kupanda viguzo zilizowekwa taa za barabarani, baada ya kudaiwa kufeli breki tokea Michakaeni hadi mjini kwenye mataa.(PICHA NA ABDI SULEIMAN.)
Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na Kuzungumza na Sheikh Ahmed Dalmook Al Maktoum kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa
kwenye mazungumzo na Mwanafamilia wa Utawala wa Dubai kutoka Umoja wa Falme
za Kia...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment