GARI ya abiria yenye Namba Z845 EP, Ruti Gombani Chake Chake, inayodaiwa ambayo imepata ajali na kupanda viguzo zilizowekwa taa za barabarani, baada ya kudaiwa kufeli breki tokea Michakaeni hadi mjini kwenye mataa.(PICHA NA ABDI SULEIMAN.)
Itaendelea Kuwahusisha Kikamilifu Kwenye Utekelezaji wa Miradi Mikubwa ya
Maendeleo kwa Kuzingatia Dhana ya Ushirikishwaji wa Wataalamu wa Kitanzania
Katika Miradi Endelevu ya Kimkakati -Dk.Hussein
-
*SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inathamini sana mchango wa **fani
za Wasanifu, Wahandisi na Wakadiriaji Zanzibar kwenye utekelezaji wa
mipango...
54 minutes ago
No comments:
Post a Comment