Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Azungumza na Waandishi wa Habari ya Kitaifa na Kimataifa Ikulu Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya Kitaifa na Kimataifa, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, wakiwa Zanzibar kutembelea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar kushuhudia uzinduzi wa matumizi ya  Mashine ya (EDE) ya kupimia UVIKO-19, pamoja na kuwasili kwa Ndege ya “Fly Dubai” kutoka (UAE)
WAANDISHI wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya Kitaifa na Kimataifa wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa mkutano wake na waandishi hao uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini  Zanzibar, wakiwa Zanzibar kutembelea Uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume na kushuhudia uzinduzi wa matumizi ya mashine ya (EDE ) ya kupimia UVIKO-19 pamoja na kuwasili kwa Ndege ya “Fly Dubai” kutoka (UAE) 
WAANDISHI wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya Kitaifa na Kimataifa wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa mkutano wake na waandishi hao uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini  Zanzibar, wakiwa Zanzibar kutembelea Uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume na kushuhudia uzinduzi wa matumizi ya mashine ya (EDE ) ya kupimia UVIKO-19 pamoja na kuwasili kwa Ndege ya “Fly Dubai” kutoka (UAE) 
WAANDISHI wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya Kitaifa na Kimataifa wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa mkutano wake na waandishi hao uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini  Zanzibar, wakiwa Zanzibar kutembelea Uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume na kushuhudia uzinduzi wa matumizi ya mashine ya (EDE ) ya kupimia UVIKO-19 pamoja na kuwasili kwa Ndege ya “Fly Dubai” kutoka (UAE) 
MWANDISHI wa habari kutoka (BBC) Bw.Aboubakar Famau akiuliza swali wakati wa mkutano uliowashirikisha waandishi wa habari wa Kitaifa na wa Kimataifa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, wakiwa Zanzibar kutembelea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume wakati wa uzinduzi wa matumizi ya mashine ya (EDE) ya kupimia UVIKO-19, pamoja na kuwasili kwa Ndege ya “Fly Dubai” kutoka (UAE
MWANDISHI wa habari kutoka Taifa leo kutoka Kenya (NMG) Bi. Mary Wangari akiuliza swali wakati wa mkutano wao uliowashirikisha waandishi wa habari wa Kitaifa na wa Kimataifa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, wakiwa Zanzibar kutembelea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar,wakati wa uzinduzi wa matumizi ya mashine ya (EDE) ya kupimia UVIKO-19, pamoja na kuwasili kwa Ndege ya “Fly Dubai” kutoka (UAE) 
MWANDISHI wa habari kutoka Daily Nation / Business Daily Bw.Ochieng Oreyo akiuliza swali wakati wa mkutano wao uliowashirikisha waandishi wa habari wa Kitaifa na wa Kimataifa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, wakiwa Zanzibar kutembelea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar,wakati wa uzinduzi wa matumizi ya mashine ya (EDE) ya kupimia UVIKO-19, pamoja na kuwasili kwa Ndege ya “Fly Dubai” kutoka (UAE)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kujibu maswali ya  Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya Kitaifa na Kimataifa, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, wakiwa Zanzibar kutembelea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar kushuhudia uzinduzi wa matumizi ya  Mashine ya (EDE) ya kupimia UVIKO-19, pamoja na kuwasili kwa Ndege ya “Fly Dubai” kutoka (UAE)
WAANDISHI wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya Kitaifa na Kimataifa wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa mkutano wake na waandishi hao uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini  Zanzibar, wakiwa Zanzibar kutembelea Uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume na kushuhudia uzinduzi wa matumizi ya mashine ya (EDE ) ya kupimia UVIKO-19 pamoja na kuwasili kwa Ndege ya “Fly Dubai” kutoka (UAE) 
WAANDISHI wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya Kitaifa na Kimataifa wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa mkutano wake na waandishi hao uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini  Zanzibar, wakiwa Zanzibar kutembelea Uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume na kushuhudia uzinduzi wa matumizi ya mashine ya (EDE ) ya kupimia UVIKO-19 pamoja na kuwasili kwa Ndege ya “Fly Dubai” kutoka (UAE).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.