Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana
na Balozi wa Jamhuri ya Malawi hapa nchini Mhe. Andrew Posyantos Efron Zumbe
kabla ya kupokea Hati yake ya Utambulisho katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu
Chamwino, Jijini Dodoma leo tarehe 29 Machi, 2022.
Balozi wa Jamhuri ya Malawi hapa nchini Mhe. Andrew Posyantos Efron Zumbe akiwasilisha Hati yake ya Utambulisho katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino, Jijini Dodoma leo tarehe 29 Machi, 2022.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika
mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Malawi hapa nchini Mhe. Andrew Posyantos
Efron Zumbe mara baada ya kupokea Hati yake ya Utambulisho katika hafla fupi
iliyofanyika Ikulu Chamwino, Jijini Dodoma leo tarehe 29 Machi, 2022
No comments:
Post a Comment