Habari za Punde

W aziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa Azungumza Wakati wa Alipofutarisha Watoto wa Buigiri.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofuturu na watoto wenye mahitaji maalum wa kituo cha Buigiri  wilayani Chamwino, Dodoma ambacho kinamilikiwa na Kanisa la Angilikana Dayosisi ya Central Tanganyika

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofuturu na watoto wenye mahitaji maalum wa kituo cha Buigiri  wilayani Chamwino, Dodoma ambacho kinamilikiwa na Kanisa la Angilikana Dayosisi ya Central Tanganyika,  Aprili 21, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.