Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. Philip Mpango katika Uwanja wa Ndege wa Kigoma akisalimiana na
Mkuu wa Mkoa huo Mheshimiwa Thobias Andengenye wakati alipowasili mkoani Kigoma
kushiriki mazishi ya aliyekuwa Askofu wa Jimbo la Ziwa Tanganyika la Kanisa la
Morovian,Askofu Charles Katale yanayofanyika leo tarehe 7 Mei 2022.
No comments:
Post a Comment