Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akizungumza na Balozi Mdogo wa China nchini Tanzania zhang Zhisheng wakati alipotembelewa na Balozi huyo ofisini kwake Chukwani kwa ajili ya Kujitambulisha pamoja na kuendelea kuimarisha ushirikiano uliopo baina ya China na Zanzibar.
Emirates kuongeza safari za ndege kutoka tano kwa wiki hadi kila siku
-
EMIRATES itaongeza safari za ndege zinazotoka Dar es Salaam, kutoka safari
tano kwa wiki hadi za kila siku kuanzia Mei Mosi, mwaka huu. Watanzania
sasa ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment