Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akizungumza na Balozi Mdogo wa China nchini Tanzania zhang Zhisheng wakati alipotembelewa na Balozi huyo ofisini kwake Chukwani kwa ajili ya Kujitambulisha pamoja na kuendelea kuimarisha ushirikiano uliopo baina ya China na Zanzibar.
MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA AWAPA TABASAMU WAKULIMA WA MAHINDI RUKWA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV- Rukwa
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha
Mapinduzi(CCM) Dk.Samia Suluhu Hassan amewaa...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment