Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akizungumza na Balozi Mdogo wa China nchini Tanzania zhang Zhisheng wakati alipotembelewa na Balozi huyo ofisini kwake Chukwani kwa ajili ya Kujitambulisha pamoja na kuendelea kuimarisha ushirikiano uliopo baina ya China na Zanzibar.
Wizara ya Elimu yataja vipaumbele vitano bajeti 2025-2026
-
Na Janeth Raphael MichuziTv - BUNGENI Dodoma
KATIKA mwaka wa fedha 2025/26, Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na
Teknolojia imepanga kutekeleza vip...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment