Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa Azungumza na Balozi wa Korea ya Kusini Nchini Tanzania Kuhusu Ujenzi wa Meli ya MV Mwanza Hapa Kazi Tu.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao kati yake na Balozi wa Korea Kusini Nchini, Kim Sun Pyo (kulia)  kwenye ukumbi wa Ofisi Ndogo ya  Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es salaam, Mei 14, 2021. Wengine walioshiriki katika mazungumzo hayo ni  Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Balozi Mbarouk  N. Mbarouk, Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi,  Fred Makibete, Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya  Gas Entec Tanzania ambayo inatekeleza ujenzi wa meli ya MV Mwanza Hapa Kazi Tu, Dongmyung Kwak, Bw. Philemon Bagambilana, Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Huduma za Meli,  Kanali Samweli Mahirane, Kamishina  wa Uhamiaji , Usimamizi na Udhibiti wa Mipaka nchini    na Balozi Caesar Waitara ambaye ni Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australia, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Korea  ya Kusini nchini,  Kim Sun Pyo baada ya mazungumzo kati yao  kwenye ukumbi wa Ofisi  Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es salaam, Mei 14, 2022. Wengine walioshiriki katika mazungumzo hayo ni  Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Balozi Mbarouk  N. Mbarouk, Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi,  Fred Makibete, Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya  Gas Entec Tanzania ambayo inatekeleza ujenzi wa meli ya MV Mwanza Hapa Kazi Tu, Dongmyung Kwak, Bw. Philemon Bagambilana, Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Huduma za Meli,  Kanali Samweli Mahirane, Kamishina  wa Uhamiaji , Usimamizi na Udhibiti wa Mipaka nchini    na Balozi Caesar Waitara ambaye ni Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australia, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki.Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.