Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Komredi Abdulrahman Kinana akutana na Kufanya mazungumzo na Balozi wa Ubeligiji Nchini Tanzania, Bw. Peter Van Acker, katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya Chama, Lumumba, Dar es Salaam, Juni 16, 2022. (Picha Zote na Fahadi Siraji /CCM MAKAO MAKUU)
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment