Habari za Punde

Polisi Mkoani Iringa Yawatia Mbarani Watoto Wazurulaji


Kamanda wa polisi mkoani Iringa ACP Allan Bukumbi akitoa taarifa ya jeshi la polisi kwa waandishi wa Habari mkoani Iringa alisema Watoto hao walikamatwa katika maeneo mbalimbali ya manispaa ya Iringa.
Kamanda wa polisi mkoani Iringa ACP Allan Bukumbi akitoa taarifa ya jeshi la polisi kwa waandishi wa Habari mkoani Iringa alisema Watoto hao walikamatwa katika maeneo mbalimbali ya manispaa ya Iringa
Kamanda wa polisi mkoani Iringa ACP Allan Bukumbi akitoa taarifa ya jeshi la polisi kwa waandishi wa Habari mkoani Iringa alisema Watoto hao walikamatwa katika maeneo mbalimbali ya manispaa ya Iringa 

 Na Fredy Mgunda, Iringa.

 
 

Jeshi la polisi mkoani Iringa Linawashikilia watoto wapatao 10 kwa tuhuma za uzururaji baada ya kuwakamata nyakati za usiku katika oparesheni maalum ya kukomesha uzururaji kwa Watoto unaopelekea wengi wao kujihusisha na vitendo vya uhalifu

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.