Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Somalia Mhe. Hassan Sheikh Mohamud kwenye ufunguzi wa Mkutano wa 22 wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC Jijini Arusha tarehe 21 Julai 2022.
DG RUWASA AAGIZA MAMENEJA MIKOA NA WILAYA KUJIKITA KWENYE UTOAJI HUDUMA YA
MAJI KWA KUZIJENGEA UWEZO CBWSOs
-
Mkurugenzi Mkuu wa RUWASA, Wolta Kirita amewataka Mameneja wa Mikoa na
Wilaya katika mikoa yote 25 inayohudumiwa na taasisi hiyo kuelekeza nguvu
zaidi za...
2 hours ago
0 Comments