Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Somalia Mhe. Hassan Sheikh Mohamud kwenye ufunguzi wa Mkutano wa 22 wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC Jijini Arusha tarehe 21 Julai 2022.
PROF. NDALICHAKO APONGEZA PSSSF KWA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu)
Profesa Joyce Ndalichako, akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi
...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment