Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi Amejumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Katika Sala ya Eid Al Hajj.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud alipowasili katika viwanja vya Msikiti wa Kidoti kuhudhuria Sala ya Eid Al hhajj iliyofanyika Kitaifa katika Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 10-7-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Al Hajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Alhajj Haroun Ali Suleiman wakielekea katika Msikiti wa Kidoti kwa ajili ya Ibada ya Sala ya Eid Al Hajj, iliyofanyika Kitaifa katika Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 10-7-2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, akijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam katika Sala ya Eid Al Hajj iliyofanyika katika Msikiti wa Ijitimai Kidoti Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatilia hutuba ya Sala ya Eid Al Hajj kisomwa na Sheikh Shauri Saleh.(hayupo pichani) baada ya kumalizika Sala ya Eid Al Hajj iliyofanyika katika Msikiti wa Ijjitimai Kidoti Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 10-7-2022,na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba.Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Alhajj.Haroun Ali Suleiman na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Alhajj Othman Masoud Othman na (kushoto kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Othman Hassan Ngwali.(hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid Al Hajj iliyofanyika katika Msikiti wa Ijitimai Kidoti Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 10-7-2022,(kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar.Alhajj Haroun Ali Suleiman na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Alhajj Othman Masoud Othman na (kushoto kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Othman Hassan Ngwali.(hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid Al Hajj iliyofanyika katika Msikiti wa Ijitimai Kidoti Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 10-7-2022,(kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar.Alhajj Haroun Ali Suleiman na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Alhajj Othman Masoud Othman na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhaj Hemed Suleiman Abdulla na (kushoto kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid Al Hajj iliyofanyika katika Msikiti wa Ijitimai Kidoti Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 10-7-2022.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.