Mtafiti kutoka Taasisi ya CIMA Foundation Bi. Anna Mapelli akieleza jambo wakati wa kikao hicho.
Mtafiti wa Taasisi ya CIMA Foundation Bw. Antonio Libroia akiwasilisha hoja kuhusu utekelezaji wa mfumo wa MYDEWETRA kwa ajili ya tahadhari ya mapema walipokutana Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dodoma
Baadhi ya Wajumbe wakifuatilia kikao cha kupokea taarifa ya Wataalam wa CIMA Research Foundation wanaorasimisha mfumo wa MYDEWETRA kwa ajili ya tahadhari ya mapema walipokutana Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dodoma Oktoba 06, 2022.
(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
No comments:
Post a Comment