RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana
na kuagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na Viongozi mbalimbali wa Serikali Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani
Karume Zanzibar akielekea Nchi Uganda leo 8-10-2022, kuhudhuria Sherehe za
Miaka 60 ya Uhuru wa Uganda, akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimia na kuagana na Makamu wa Pili wa
Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla,Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Abeid Amani Karume Zanzibar, akielekea Nchini Uganda kuhudhuria Sherehe za
Miaka 60 ya Uhuru wa Uganda, akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.
No comments:
Post a Comment