Hivi karibuni Bodi ya Dawa na Chakula Zanzibar (ZFDA) Imefanikiwa kuteketeza jumla ya tani 30 za tende ilioharibika kutokana na uhifadhi mbaya na kupelekea kutokua salama Kwa matumizi ya binaadam, pichani ni Tikatika likiteketeza tende hiyo katika jaa la Kibele Wilaya ya Kati Mkoa wa kusini Unguja.
WAGOMBEA UBUNGE MAJIMBO YA MKOA WA SONGWE WAJIVUNIA YALIYOFANYWA NA RAIS
SAMIA “OKTOBA WOTE TUNATIKI KWA SAMIA”
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe
WAGOMBEA ubunge wa majimbo yaliyopitishwa katika Mkoa wa Songwe wametaja
mafanikio lukuki yaliyofanywa na Rais Dk.Sami...
59 minutes ago
No comments:
Post a Comment