Hivi karibuni Bodi ya Dawa na Chakula Zanzibar (ZFDA) Imefanikiwa kuteketeza jumla ya tani 30 za tende ilioharibika kutokana na uhifadhi mbaya na kupelekea kutokua salama Kwa matumizi ya binaadam, pichani ni Tikatika likiteketeza tende hiyo katika jaa la Kibele Wilaya ya Kati Mkoa wa kusini Unguja.
CCM YAITAKA SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WOTE WALIOTAJWA KWENYE RIPOTI YA CAG,TAKUKURU KUFUJA MALI ZA UMMA
-
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa
imeielekeza Serikali kuchukua hatua thabiti kwa wahusika wote waliobainika
kuhusika katika...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment