Hivi karibuni Bodi ya Dawa na Chakula Zanzibar (ZFDA) Imefanikiwa kuteketeza jumla ya tani 30 za tende ilioharibika kutokana na uhifadhi mbaya na kupelekea kutokua salama Kwa matumizi ya binaadam, pichani ni Tikatika likiteketeza tende hiyo katika jaa la Kibele Wilaya ya Kati Mkoa wa kusini Unguja.
MATUKIO KATIKA PICHA NYUMBANI KWA MAREHEMU
-
Baadhi ya Viongozi kutoka taasisi mbalimbali pamoja na waliowahi kushinda
taji la Miss Tanzania kwa nyakati tofauti na waombolezaji wakiwa wamewasili ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment