Hivi karibuni Bodi ya Dawa na Chakula Zanzibar (ZFDA) Imefanikiwa kuteketeza jumla ya tani 30 za tende ilioharibika kutokana na uhifadhi mbaya na kupelekea kutokua salama Kwa matumizi ya binaadam, pichani ni Tikatika likiteketeza tende hiyo katika jaa la Kibele Wilaya ya Kati Mkoa wa kusini Unguja.
WANA SANTA RC BUNJU WAPIGWA MSASA MATUMIZI SAHIHI YA MITANDAO
-
Wanakwaya wa Mt. Joseph, Parokia ya Bikira Maria wa Mlima Karmel Bunju,
jimbo la Bagamoyo wameaswa kutumia vema mitandao ya kijamii kutangaza kwaya
y...
1 hour ago
0 Comments