Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Wananchi wa Wilaya ya Kondoa alipokuwa njiani akielekea Wilaya ya Babati Mkoani Manyara kwa ajili ya kuanza ziara ya kutembelea na kukaguwa miradi mbalimbali ya Maendeleo ya Wananchi tarehe 22 Novemba, 2022.
Uchumi : Benki ya STANBIC Yazindua Maboresho ya Huduma ya "STANBIC Private
Banking " Jijini Mwanza
-
Meneja wa Benki ya Stanbic Tawi la Mwanza, Geofrey Makondo, akizungumza na
baadhi ya wateja wao wa Mkoani Mwanza, katika hafla ya uzinduzi rasmi wa
mab...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment