Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Wananchi wa Wilaya ya Kondoa alipokuwa njiani akielekea Wilaya ya Babati Mkoani Manyara kwa ajili ya kuanza ziara ya kutembelea na kukaguwa miradi mbalimbali ya Maendeleo ya Wananchi tarehe 22 Novemba, 2022.
KADA WA CCM MACRINA AJITOSA UBUNGE VITI MAALUMU MKOA WA TANGA
-
KADA wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga Macrina Clemens (kulia )
akikabidhiwa fomu na Katibu wa UWT Mkoa wa Tanga Anastazia Aman
Na Mwandishi Wetu,TA...
16 minutes ago
No comments:
Post a Comment