Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Wananchi wa Wilaya ya Kondoa alipokuwa njiani akielekea Wilaya ya Babati Mkoani Manyara kwa ajili ya kuanza ziara ya kutembelea na kukaguwa miradi mbalimbali ya Maendeleo ya Wananchi tarehe 22 Novemba, 2022.
NAIBU WAZIRI PINDA AWATAKA WANANCHI KUEPUKA KESI ZISIZO ZA LAZIMA
-
*Na. Hassan Mabuye, Katavi.*
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda
amewataka wananchi kuepuka kesi na mashitaka yasi...
1 minute ago
No comments:
Post a Comment