Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Wananchi wa Wilaya ya Kondoa alipokuwa njiani akielekea Wilaya ya Babati Mkoani Manyara kwa ajili ya kuanza ziara ya kutembelea na kukaguwa miradi mbalimbali ya Maendeleo ya Wananchi tarehe 22 Novemba, 2022.
Dkt Jakaya Kikwete Apongeza Kasi ya Ukuaji Taasisi za Fedha, Aipongeza NBC
Ushirikiano na Wateja.
-
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete ameelezea kuridhishwa
kwake na kasi ya ukuaji pamoja na uimara wa taasisi za fedha hapa nchini
huku akizis...
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment