Habari za Punde

Siku ya FIGO Duniani kuadhimishwa Alhamisi

Mkurugenzi Mtendajii  Hospitali ya Rufaa Mnazimmoja Dkt.  Muhiddin Abdi Mahmoud akizungumza na Waandishi wa Habari wakati alipokua  Akitoa taarifa  kuhusiana na siku ya FIGO Duniani ambayo huadhimishwa Kila ifikapo Alhamisi ya kwanza ya mwezi wa tatu ambapo  kauli mbiu Kwa mwaka huu "Afya Bora ya FIGO kwa wote tuwaunge mkono wenye maradhi ya FIGO " ,hafla  iliyofanyika Hospital ya Rufaa Mnazimmoja,machi 06,2023. PICHA NA FAUZIA MUSSA-ZANZIBAR ZANZIBAR 

Daktari  wa Magonjwa ya FIGO Hospital ya Rufaa Mnazimmoja Dkt.Mohamed Khamis Miraji akitolea ufafanuzi  ugonjwa huo wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuhusiana na siku  ya Ugonjwa wa  FIGO Duniani ambayo huadhimishwa Kila ifikapo Alhamisi ya kwanza ya mwezi wa tatu ambapo  kauli mbiu Kwa mwaka huu "Afya Bora ya FIGO kwa wote tuwaunge mkono wenye maradhi ya FIGO " ,hafla hiyo iliyofanyika Hospital ya Rufaa Mnazimmoja,machi 06,2023. PICHA NA FAUZIA MUSSA-ZANZIBAR ZANZIBAR 

Baadhi ya wagonjwa wa maradhi ya figo wakipatiwa huduma ya kuchuja damu ( dialysis) katika Hospitali ya Rufaa Mnazimmoja machi 06,2023. PICHA NA FAUZIA MUSSA-ZANZIBAR ZANZIBAR 

Daktari Bingwa Mbobevu wa Magonjwa ya FIGO Hospitali ya Rufaa Mnazimmoja Dkt.  Muhiddin Abdi Mahmoud akiwaelezea waandishi wa  Habari kuhusiana na mfumo mzima wa  kuchuja  damu kwa wagonjwa wa FIGO waliofikia hatua ya tano            ( dialysis) ,wakati walipotembelea kitengo   cha huduma hiyo huko Hospitali ya Rufaa Mnazimmoja, kuelekea siku ya FIGO Duniani  ambayo huadhimishwa Kila ifikapo Alhamis ya  kwanza ya mwezi wa tatu ambapo  kauli mbiu Kwa mwaka huu "Afya Bora ya FIGO kwa wote tuwaunge mkono wenye maradhi ya FIGO ",machi 06,2023. PICHA NA FAUZIA MUSSA-ZANZIBAR ZANZIBAR 

Mgonjwa  wa maradhi ya FIGO Saleh Othman  akiwaelezea waandishi wa habari juu ya ugonjwa wa Figo amabao ameishi nao kwa miaka minane wakati walipotembelea kitengo   cha huduma ya uchujaji damu kwa wagonjwa wa figo waliofikia hatua ya tano  Hospitali ya Rufaa Mnazimmoja, kuelekea siku ya FIGO Duniani  ambayo huadhimishwa Kila ifikapo alhamisi ya  kwanza ya mwezi wa tatu ambapo  kauli mbiu Kwa mwaka huu "Afya Bora ya FIGO kwa wote tuwaunge mkono wenye maradhi ya FIGO ",machi 06,2023. PICHA NA FAUZIA MUSSA-ZANZIBAR ZANZIBAR 

 

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.