Habari za Punde

Tanzania na Japan Kushirikiana Kuendeleza Michezo Nchini

 

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu (katikati) akiwa kwenye kikao na Mtaalamu wa michezo kutoka Shirika la Maendeleo ya Japan (JICA) Dkt. Shiraishi Tomoya (wa pili kushoto) Juni 01, 2023 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu (wa tatu kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wageni kutoka utoka Shirika la Maendeleo ya Japan (JICA) wakiongozwa na Mtaalamu wa michezo Dkt. Shiraishi Tomoya (wa pili kushoto)
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu (kulia) akisalimiana na Mtaalamu wa michezo kutoka Shirika la Maendeleo ya Japan (JICA) Dkt. Shiraishi Tomoya (kushoto) 


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.