Habari za Punde

DKT. NCHEMBA ASHIRIKI MKUTANO WA KAMATI YA MAWAZIRI WA FEDHA NA UWEKEZAJI WA SADC-KINSHASA

 Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt  Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) kushoto na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Silaoneka Kigahe (MB), wakishiriki Mkutano wa Kamati ya Mawaziri wa Fedha  na Uwekezaji wa jopo la Mapitio ya Uchumi Mpana wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), uliofanyika Mjini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC)

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt  Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) kushoto na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Silaoneka Kigahe (MB), wakishiriki Mkutano wa Kamati ya Mawaziri wa Fedha  na Uwekezaji wa jopo la Mapitio ya Uchumi Mpana wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), uliofanyika Mjini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC)

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt  Mwigulu Lameck Nchemba  akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya  Mawaziri wa Fedha  na Uwekazaji kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa SADC uliohusu Mapitio ya Uchumi Mpana wa Jumuiya hiyo, uliofanyika mjini Kinshasa,  Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC)
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-WF-Kinshasa, Congo DRC)



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.