Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wanafamilia wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Marehemu Jecha Saluma Jecha mara baada ya kuwasili katika Kijiji cha Mkwajuni Uyagu Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa ajili ya kutoa pole tarehe 18 Julai, 2023.
ALLIANCE ONE YAONGOZA MAPAMBANO YA KUREJESHA MISITU NZEGA
-
Na Mwandishi Wetu,Nzega
Halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora imeipongeza Kampuni ya Tumbaku
ya Alliance One kwa kuwa kinara wa juhudi za upandaji...
17 minutes ago

0 Comments