Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wanafamilia wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Marehemu Jecha Saluma Jecha mara baada ya kuwasili katika Kijiji cha Mkwajuni Uyagu Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa ajili ya kutoa pole tarehe 18 Julai, 2023.
SATF YAWAWEZESHA VIJANA VIFAA VYA UJASIRIAMALI MKURANGA
-
Na Mwandishi Wetu
TAASISI ya Social Action Trust Fund (SATF) iliyoanzishwa kwa udhamini wa
Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Serikali ya Marekani (USA...
2 minutes ago
No comments:
Post a Comment