Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Akishangia Ubingwa wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Karume Boys kwa Ubingwa wa CECAFA -U-15

 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akishangilia bao la nne la mkwaju wa penenti lililofungwa na mchezaji laqman Othman lililoipa Ubingwa wa wa Kombe la CECAFA U-15. Timu ya Taifa ya Zanzibar Karume Boys chini ya Umiri wa miaka 15, katika mchezo wa fainali dhidi ya Timu ya Uganda, akifuatilia mchezo wa fainali hiyo akiwa Ofisini kwake Ikulu Jijini Zanzibar. Timu ya Taifa ya Zanzibar Karume Boys imshinda mchezo huo kwa penenti 4-3.(Picha na Ikulu)


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.