Meneja wa Shirika la Bima la Taifa (NIC ) Kanda ya Zanzibar Ndg.Khamis Masoud akimzawadi zawadi wa shilingi laki tano Mchezaji Bora wa Mechi Kati ya JKU na Singida Elvis Rupia, kwa kuibuka mshindi wa mchezo huo kwa kufunga mabao mawili katika mchezo huo uliofanyika jana usiki katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Singida imeshinda kwa mabao 4-1.
ASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI MBEYA KWA TUHUMA ZA UCHOCHEZI
-
JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linapenda kujulisha kuwa limemkamata na
linamshikilia Award Karonga, Mkazi wa Katumba ambaye ni Katibu wa Chama cha
Demokras...
39 minutes ago

0 Comments