Meneja wa Shirika la Bima la Taifa (NIC ) Kanda ya Zanzibar Ndg.Khamis Masoud akimzawadi zawadi wa shilingi laki tano Mchezaji Bora wa Mechi Kati ya JKU na Singida Elvis Rupia, kwa kuibuka mshindi wa mchezo huo kwa kufunga mabao mawili katika mchezo huo uliofanyika jana usiki katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Singida imeshinda kwa mabao 4-1.
TIA YAANZISHA KAMPASI MPYA MKOANI TANGA
-
NA EMMANUEL MBATILO
TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imeanzisha Kampasi mpya ya TIA mkoani
Tanga, ambayo inalenga kuhudumia wanafunzi kutoka kanda ya Kask...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment