Meneja wa Shirika la Bima la Taifa (NIC ) Kanda ya Zanzibar Ndg.Khamis Masoud akimzawadi zawadi wa shilingi laki tano Mchezaji Bora wa Mechi Kati ya JKU na Singida Elvis Rupia, kwa kuibuka mshindi wa mchezo huo kwa kufunga mabao mawili katika mchezo huo uliofanyika jana usiki katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Singida imeshinda kwa mabao 4-1.
TAKUKURU MKOA WA DODOMA YAFUATILIA MIRADI YA BILIONI 50 NA KUFANIKIWA
KUOKOA ZAIDI YA MILIONI 13
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa of wa Dodoma Christopher Myava amesema katika
utendaji kazi wa Takukuru mkoani humo katika kipin...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment