Kocha Mkuu wa Timu ya Yanga Gamondi akitowa maelekezo kwa wachezaji wake, wakati wa mapunziko mafupi ya kupa maji, wakati wa mchezo wao wa pili wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 na Timu ya Jamus, mchezo unaofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar. Timu ya Yanga imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.
NIDA YARUHUSU NDUGU JAMAA KUCHUKULIANA KITAMBULISHO CHA TAIFA, YAWATOA HOFU
WANANCHI KUFUNGIWA NAMBA
-
Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, James Kaji akizungumza na waandishi wa habari
jijini Dar es Salaam leo Januari 21,2025. kuhusiana na masuala mbalimbali
ya Vitam...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment