Habari za Punde

Yanga Yaendelea Ushindi Michuano wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 Kwa Ushindi wa Bao 2-1 Dhidi ya Timu ya Jamus Uwanja Amaan Complex Zanzibar

Kocha Mkuu wa Timu ya Yanga Gamondi akitowa maelekezo kwa wachezaji wake, wakati wa mapunziko mafupi ya kupa maji, wakati wa mchezo wao wa pili wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 na Timu ya Jamus, mchezo unaofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar. Timu ya Yanga imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.






No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.