Kocha Mkuu wa Timu ya Yanga Gamondi akitowa maelekezo kwa wachezaji wake, wakati wa mapunziko mafupi ya kupa maji, wakati wa mchezo wao wa pili wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 na Timu ya Jamus, mchezo unaofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar. Timu ya Yanga imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment