Kocha Mkuu wa Timu ya Yanga Gamondi akitowa maelekezo kwa wachezaji wake, wakati wa mapunziko mafupi ya kupa maji, wakati wa mchezo wao wa pili wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 na Timu ya Jamus, mchezo unaofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar. Timu ya Yanga imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment