Mchezaji wa Timu ya Azam akimiliki mpira huku mchezaji wa Timu ya Vitalo akijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024, mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar, katika mchezo huo Timu ya Azam imeshinda kwa bao 3-1 na kuingia Robo fainali ya Michuano ya Kombe la Mapinduzi Cup.
Dar City, Fox Divas watwaa ubingwa wa betPawa NBL 2025
-
Na Mwandishi wetu
Timu ya Dar City kwa upande wa wanaume na Fox Divas kwa upande wa wanawake
zimetwaa ubingwa wa mashindano ya klabu bingwa ya mpira wa k...
10 hours ago




0 Comments