Mchezaji wa Timu ya Azam akimiliki mpira huku mchezaji wa Timu ya Vitalo akijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024, mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar, katika mchezo huo Timu ya Azam imeshinda kwa bao 3-1 na kuingia Robo fainali ya Michuano ya Kombe la Mapinduzi Cup.
BALOZI OMAR AZIHIMIZA KAMPUNI ZA MAWASILIANO KUSHIRIKI UTEKELEZAJI WA DIRA
YA TAIFA YA MAENDELEO 2050
-
Na Benny Mwaipaja, Dodoma
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema kuwa Serikali
inatambua mchango mkubwa wa sekta ya mawasiliano katik...
13 hours ago




0 Comments