Kocha Mkuu wa Timu ya Yanga Gamondi akitowa maelekezo kwa wachezaji wake, wakati wa mapunziko mafupi ya kupa maji, wakati wa mchezo wao wa pili wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 na Timu ya Jamus, mchezo unaofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar. Timu ya Yanga imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.
MAGARO AWATAKA MADIWANI KUSIMAMIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU.
-
Na Nasra Ismail- Geita
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Geita Karia Magaro
amewataka madiwani kusimamia Sheria kanuni na taratibu za uende...
1 hour ago








0 Comments