Kocha Mkuu wa Timu ya Yanga Gamondi akitowa maelekezo kwa wachezaji wake, wakati wa mapunziko mafupi ya kupa maji, wakati wa mchezo wao wa pili wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 na Timu ya Jamus, mchezo unaofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar. Timu ya Yanga imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.
Elimu : Mkenda Azindua Bodi Mpya ya TCU, Asisitiza Uimarishaji wa Usimamizi
na Uthibiti Ubora wa Elimu ya Juu
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameielekeza
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kuendelea kusim...
10 hours ago








0 Comments