Afisa wa Bima NIC Insurance Bi. Lilian Manumbu akimkabidhi zawadi ya fedha taslim shilingi laki tano Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi kutoka Timu ya Azam. baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo huo.
VIP SOBER HOUSE YAZINDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM ,MSANII MAARUFU WA
BONGOFLEVA NDANI YA MJENGO
-
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya
(DCEA), Aretas Lyimo, amefungua rasmi kituo kipya VIP Sober House
Kigamboni, jiji...
14 minutes ago

0 Comments