RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe. Shariff Ali Shariff kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Kazi Uchumi
na Uwekezaji Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar leo 22-2-2024 na (kushoto kwa
Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed
Said.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisaini hati ya Kiapo ya Mhe. Shariff Ali
Shariff baada ya kumuapisha kuwa Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais,Kazi Uchumi na Uwekezaji Zanzibar, hafla hiyo
iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 22-2-2024 na (kushoto kwa Rais) Katibu wa
Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimpongeza Mhe. Shariff Ali Shariff, baada
ya kumuapisha kuwa Waziri wa Nchi Ofisi
ya Rais,Kazi Uchumi na Uwekezaji Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika
ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo
22-2-2024 na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu
Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said
No comments:
Post a Comment