Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Kiwanda cha kutengeneza virutubishi cha SANKU kilichopo Mikocheni Jijini Dar es Salaam, Juni 15, 2024. Wengine pichani kutoka Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Exaud Kigahe, Mkurugenzi Mkuu wa kiwanda hicho Felix Church, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu na kulia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Ummy Nderiananga
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipewa maelezo kuhusu aina ya virutubishi vinavyozalishwa na kiwanda cha Kiwanda cha kutengeneza virutubishi cha SANKU kilichopo Mikocheni Jijini Dar es Salaam, Juni 15, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment