Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Amefungua Kongamano la Biashara Kati ya Zanzibar na Umoja wa Ulaya Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizundua Ripoti ya Umoja wa Ulaya ya Uwekezaji Zanzibar na (kulia) Balozi wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania na Afrika Mashariki  Mhe. Christine Grau, uzinduzi huo uliyofanyika leo 27-2-2025, wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Biashara kati ya Zanzibar na Umoja wa Ulaya, lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.
















WASHIRIKI wa Kongamano la Biashara Kati ya Zanzibar na Umoja wa Ulaya wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa Kongamano hilo linalofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar lililofanyika leo 27-2-2025

WASHIRIKI wa Kongamano la Biashara Kati ya Zanzibar na Umoja wa Ulaya wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa Kongamano hilo linalofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar lililofanyika leo 27-2-2025









 



































No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.