Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya
Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Organ) Mhe. Dkt. Samia Suluhu
Hassan akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC kwa
njia ya Mtandao pamoja na viongozi mbalimbali, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma
tarehe 13 Machi, 2025. Mkutano huo pamoja na mambo mengine unajadili hali ya
ulinzi na usalama Mashariki mwa nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
CHONGOLO ASISITIZA ULINZI MRADI WA UMWAGILIAJI MKOMBOZI KWA MANUFAA YA
WATANZANIA WOTE
-
NIRC Iringa
Waziri wa Wizara ya Kilimo, Daniel Chongolo, amesisitiza ulazima wa
kulindwa kwa Mradi wa Umwagiliaji Mkombozi uliopo Pawaga mkoani Iringa,...
37 minutes ago




0 Comments