Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi Akabidhi Sadaka ya Iftaar Kwa Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi  akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi  wakimkabidhi  Sadaka ya Iftaar  Mwananchi Mkoa wa Kaskazini Pemba. Mukrim Faki Ali, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Jamhuri Wete Pemba
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akimkabidhi Sadaka ya Iftaar Mwananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Fatma Rashid Said, hafla hiyo ya kukabidhi Iftaar iliyofanyika katika ukumbi wa Jamhuri Wete Pemba.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akimkabidhi Sadaka ya Iftaar  Mwananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Shuwena Said Ali, hafla hiyo ya kukabidhi Iftaar iliyofanyika katika ukumbi wa Jamhuri Wete Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa Makundi Maalumu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, baada ya kumaliza kuwakabidhi Sadaka ya Iftaar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Jamhuri Wete Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsaimia Mtoto Mohammed Karume Mohammed, baada ya kumaliza kugawa Sadaka ya Iftaar kwa Wananchi wa Makundi Maalumu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba (kulia kwa Rais) Mama Mariam Mwinyi akizungumza na Dada wa Mohammed, Amina Mohammed,baada ya kumalizika kwa hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Jamhuri Wete Pemba




 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.