Mshambuliaji wa Timu ya Junguni na beki wa timu ya Uhamiaji wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ mchezo uliyofanyika leo 20-10-2025 Uwanja wa Mao Zdung.Timu ya Uhamiaji imeshinda mchezo huo kwa bao 4-0.
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia
wananchi wa majimbo ya Ilala, Segerea, Kivule na Ukonga katika uwanja wa
Kecha Kinyerezi Jijini Dar es Salaam
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza ...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment