MWANAMICHEZO Mohamed Raza akimkabidhi seti za jezi nahodha wa timu ya netiboli ya wanawake ya JKU, Hawa Suleiman Salum, wakati wa sherehe za kukabidhi vifaa vya michezo kwa jeshi hilo huko Makao Makuu ya JKU, Saateni mjini hapa. Kulia Mkuu wa JKU, Kanali, Sudi Haji Khatibu. (Picha na Abdallah Masangu).
ADEM,SLADS KUSHIRIKIANA KUTOA MAFUNZO KWA WATENDAJI,WATUMISHI SEKTA YA ELIMU
-
Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV-Bagamoyo
WAKALA wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) pamoja na Chuo cha Ukutubi
na Uhifadhi Nyaraka (SLADS) wameingia mk...
5 minutes ago
0 Comments