MWANAMICHEZO Mohamed Raza akimkabidhi seti za jezi nahodha wa timu ya netiboli ya wanawake ya JKU, Hawa Suleiman Salum, wakati wa sherehe za kukabidhi vifaa vya michezo kwa jeshi hilo huko Makao Makuu ya JKU, Saateni mjini hapa. Kulia Mkuu wa JKU, Kanali, Sudi Haji Khatibu. (Picha na Abdallah Masangu).
TPSC YAWAUNGANISHA WATAALAMU KUJADILI MATUMIZI YA AKILI MNEMBA KATIKA SEKTA
YA UMMA
-
Na Mwandishi Wetu — Dar es Salaam, 12 Februari 2026
Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kimeongoza mdahalo wa kitaalamu
uliolenga kujadili matumizi...
12 minutes ago
0 Comments