Uimarishaji wa Miundombinu ya barabara imekuza uingizaji wa magari katika katika visiwa vya Zanzibar na kusababisha foleni kwa baadhi ya wakati, kama inavyoonekana katika barabara ya darajani ikiwa na foleni kubwa.
UPATIKANAJI WA DAWA WAIMARIKA NCHINI
-
OWM-TAMISEMI
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(OWM– TAMISEMI) anayeshughulikia masuala ya Afya, Mhe. Dkt. Jafari ...
15 hours ago
0 Comments