Uimarishaji wa Miundombinu ya barabara imekuza uingizaji wa magari katika katika visiwa vya Zanzibar na kusababisha foleni kwa baadhi ya wakati, kama inavyoonekana katika barabara ya darajani ikiwa na foleni kubwa.
Teknolojia : Serikali Yaombwa Kutazama Upya Ghrama za Usajili na Kodi kwa
Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
-
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari
mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri.
Ombi hil...
1 hour ago
0 Comments