KUJENGA UTAALAMU: TAEC YAWAFUNDISHA WATAALAMU 50 KUHUSU USALAMA WA MIONZI
KATIKA SEKTA YA AFYA
-
Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imefanikisha kuendesha mafunzo ya
kitaifa ya siku nne kuhusu usalama wa mionzi ya mashine za X-Ray na vyanzo
vingin...
1 hour ago
2 Comments
Gizenga street hurumzi.
ReplyDeleteHii sio Hurumzi. Hapa ni Mkunazini kutokea kwa Batash kwendea Majestic upande wa kushoto kuna msikiti mbele(Kwa Shariff) na kulia enzi hizo kulikuwa na hospitali ya meno na mbele zaidi nakumbuka kulikuwa na hoteli ya Flamingo na duka la Budda la vifaa vya magari. Sina hakika kuwa mpaka leo hali ni hiyo. Nina mwaka wa tisa sijakanyaga Zanzibar. Hivi naelezea naona kama natembea vichochoroni.
ReplyDeleteThanks Mapara.