WANANCHI BAHI YAZINDUA KAMPENI YA UPANDAJI MITI, MITI 20,000 KUPANDA
-
Na Mwandishi Wetu Michuzi TV, Dodoma.
KATIKA kuunga mkono juhudi za Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania za utunzaji wa mazingira na mapamban...
41 minutes ago
2 Comments
Gizenga street hurumzi.
ReplyDeleteHii sio Hurumzi. Hapa ni Mkunazini kutokea kwa Batash kwendea Majestic upande wa kushoto kuna msikiti mbele(Kwa Shariff) na kulia enzi hizo kulikuwa na hospitali ya meno na mbele zaidi nakumbuka kulikuwa na hoteli ya Flamingo na duka la Budda la vifaa vya magari. Sina hakika kuwa mpaka leo hali ni hiyo. Nina mwaka wa tisa sijakanyaga Zanzibar. Hivi naelezea naona kama natembea vichochoroni.
ReplyDeleteThanks Mapara.