Vijana wakiwa katika mchezo wa kurusha Pikipiki maarufu katika mji wa zanzibar vijana hawa kuonesha manjonjo yao katika barabara za mjini maeneo ya michezani, na wiki end huonesha show hiyo katika maeneo ya shamba kama alivyotuletea mdau wetu Osama picha hizo alipokuwa katika matembezi yake huko. Huyu Kijana ni mlemavu wa miguu ane akionesha manjonjo yake akiwa na pikipiki ya maringi manne
Waziri wa Kilimo, Amefanya Mazungumzo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,
Mipango na Uwekezaji
-
WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Daniel Godfrey Chongolo (Mb) amefanya mazungumzo na
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Alexander
Mk...
3 hours ago
0 Comments