Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Brigedia Jenerali Sharif Sheikh Othman,alipofika kujitambulisha kwa Rais Ikulu Mjini Zanzibar
leo ,akiwa ni Kamanda wa Brigedi ya Nyuki (101KV),
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Brigedia Jenerali Sharif Sheikh Othman,alipofika kujitambulisha kwa Rais Ikulu Mjini Zanzibar
leo,akiwa ni Kamanda wa Brigedi ya Nyuki (101KV),
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
MAKAMU WA RAIS AONGOZA MAADHIMISHO YA KILELE CHA WIKI YA MAJI 2026
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi ametoa wito kwa Mamlaka zinazohusika pamoja na Watanzania kwa
ujumla kuw...
11 hours ago


0 Comments