Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Brigedia Jenerali Sharif Sheikh Othman,alipofika kujitambulisha kwa Rais Ikulu Mjini Zanzibar
leo ,akiwa ni Kamanda wa Brigedi ya Nyuki (101KV),
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Brigedia Jenerali Sharif Sheikh Othman,alipofika kujitambulisha kwa Rais Ikulu Mjini Zanzibar
leo,akiwa ni Kamanda wa Brigedi ya Nyuki (101KV),
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
WAKALA WA VIPIMO WABAINI UDANGANYIFU WA MIZANI MABUCHANI TEMEKE NA KIGAMBONI
-
Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Temeke umebaini vitendo vya udanganyifu
katika baadhi ya mabucha yanayouza nyama, baada ya kufanya operesheni
maalum ya...
5 hours ago


0 Comments