Moja ya mabaki ya Ofisi za mtawala wa karne ya 15 Mohammed Abdulrahman ( Mkamandume) yalioko huko Pujini Pemba
Kisima cha wivu ambacho kilitumiwa na wake wawili wa mtawala wa karne ya 15 Mohammed Abdulrahman ( Mkamandume) huko Pujini. Inasemekana mke mmoja akiteremka vidaraja na kuteka maji kwa kata na mwengine kwa ndoo bila ya wake hawa kuonana na hatimaye kisima kupewa jina la wivu
Picha na Bakar Mussa - Pemba
UKARABATI NA UJENZI WA SOKO LA KARIAKOO WAFIKIA ASILIMIA 99, TAYARI KWA
KUFUNGULIWA.
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameupongeza uongozi wa Shirika la
Maso...
1 hour ago
0 Comments