Mhe. Omar Yussuf Awasilisha Bajeti ya Serikali Katika Kikao cha Bajeti.
NEMC YATOA ELIMU YA MAZINGIRA KWENYE KONGAMANO LA ANWANI ZA MAKAZI
-
-Yatoa Elimu ya Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa elimu
ya mazingira kwenye Kongamano...
18 minutes ago
1 Comments
haya mambo ya kurithi upumbavu wa kikoloni jamani yaishe, kuonyesha hicho kibegi ndio nini ? kwani kilichomo humo ndani ya begi kimejiandika chenyewe au kimeandikwa na watu , na kama kimeandikwa na watu cha ajabu ni nini kukionyesha?
ReplyDeleteNa vile vile yale mambo ya kuingia kwa spika na rungu na watu kusimama ndio kitu gani? kama si upumbavu? na wakati wa kutoka katika vikao kumwinamia spika kama si ukafiri na upumbavu ni nini? naomba nielimishwe