Huduma mbalimbali zinapatikana katika Uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume, kwa ndege za nje na ndani hupata huduma hizo kama inavyoonekana ndege hii ikipata huduma ya kujaza mafuta ilipofika katika uwanja huu, kwa safari zake za kawaida.
WADAIWA KODI YA ARDHI KIKAAONGONI
-
Waziri Akwilapo Ataka Kukamilisha malipo ifikapo Desemba 31, 2025
Aagiza Vituo vya Makusanyo ya Kodi kutoa huduma bora
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ...
0 Comments