Jopo la Makocha wa timu ya Kikwajuni Mohammed DSaid Dingo akitowa maelezo kwa wachezaji wake wakati wa mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu, mchezo uliofanyika katika uwanja wa KSC mnazi mmoja.
WAKALA WA VIPIMO WABAINI UDANGANYIFU WA MIZANI MABUCHANI TEMEKE NA KIGAMBONI
-
Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Temeke umebaini vitendo vya udanganyifu
katika baadhi ya mabucha yanayouza nyama, baada ya kufanya operesheni
maalum ya...
2 hours ago
0 Comments