Sir Jecha Thabit Kombo hatunae tena dunia, amefariki dunia jana usiku kwa kusumbuliwa na maridhi ya Sukari, marehemu Sir Jecha anatarajiwa kuzikwa leo katika kijiji cha Chukwani baada ya sala ya ijuma kwa mujibu wa habari tlizozipata kupitia kwa jamaa na ndugu marehemu ataondokea mwanakwerekwe na kuzikwa Chukwani
MUNGU ANAVYOMPA KIBALI NAIBU SPIKA DANIEL SILLO KUONGOZA HARAMBEE KUCHANGIA
TAASISI ZA DINI
-
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo
la Babati Vijijini, Daniel Sillo, akizungumza wakati akiongoza harambee ya
kuc...
1 hour ago
1 Comments
Jamani, tupeni historia fupi ya marehemu wacheni mzaha! visiwa ya watu 1200,000 watu tunashindwa kujuana!
ReplyDeleteBinafsi yangu sikuwahi kumfahamu lkn. niliwahi kusikia kua alikua miongoni mwa mabaharia wa mwanzo wa marehemu MV MAPINDUZI.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi amin!
Mungu alilaze