Sir Jecha Thabit Kombo hatunae tena dunia, amefariki dunia jana usiku kwa kusumbuliwa na maridhi ya Sukari, marehemu Sir Jecha anatarajiwa kuzikwa leo katika kijiji cha Chukwani baada ya sala ya ijuma kwa mujibu wa habari tlizozipata kupitia kwa jamaa na ndugu marehemu ataondokea mwanakwerekwe na kuzikwa Chukwani
Wazo Bora Pitch Yatoa TZS Milioni 17 za Mtaji wa Kuanzisha Biashara,
Ikihitimisha Mpango wa Ubunifu Ulioleta Mageuzi
-
Kufuatia tangazo la hivi karibuni kwamba Standard Chartered Bank Tanzania
ilitoa mchango wa USD 11,500 kwa Challenges Worldwide Tanzania ili
kuchochea ukua...
5 hours ago
1 Comments
Jamani, tupeni historia fupi ya marehemu wacheni mzaha! visiwa ya watu 1200,000 watu tunashindwa kujuana!
ReplyDeleteBinafsi yangu sikuwahi kumfahamu lkn. niliwahi kusikia kua alikua miongoni mwa mabaharia wa mwanzo wa marehemu MV MAPINDUZI.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi amin!
Mungu alilaze